iqna

IQNA

Kujibu jinai za israel
Jibu kwa Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA0- Makundi mbalimbali ya Palestina yamesema kuwa, operesheni za kishujaa iliyofanywa dhidi ya utawala wa Kizayuni katika mji wa Baytul Muqaddas ni fakhari kwa taifa la Palestina, ni katika kujibu jinai za Wazayuni na ni kufeli muundo wa kiusalama wa Israel kukabiliana na wanamapambano wa Palestina.
Habari ID: 3476138    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/24